JINSI YA KUTUMIA MASAA 24 VIZURI

JINSI YA KUTUMIA MASAA 24 VIZURI

Kila mtu ana masaa 24  inategemea nawewe unayatumiaje
Hebu andika chini vitu ambavyo unavifanya kwa siku kwa kutumia muda wako utakuta kimoja au zaidi kati ya hivi
Kufanya kazi
Kuangalia movie
Kupiga stori na wenzako
Facebook
Email
Kulalal
Kutumia internet
Kwenda kununua vitu
Kulala
Kwenda kula
Ili kutumia muda wako vizuri unaweza fanya yafuatayo
Hamia karibu na kazini
Anza kazi kwa muda na umalize kwa muda
Unaweza ukatenga muda wa facebook ,email na kutumia internet kwa pamoja hata mara mbili kwa siku asubuhi na jioni
Unaweza pia ukafanya zile kazi ambazo haziumizi kichwa wakati una nguvu kidogo
Na ukaweka target ya kufanya kazi ngumu wakati akili yako ina nguvu zakutosha
Naamini utakuwa unajifahamu ni muda gani akili yako inakuwa vzuri sana ,wengine ni asubuhi sana inategemea na mtu

Tengeneza list ya vitu vya kufanya kila siku hii itakusaidia sana kupangilia muda wako,Baada ya kutengeneza anza na zile kazi ngumu na hakikisha unamaliza kazi moja  ndo unahamia nyingine usibadili badili kazi utapoteza ,muda wako
WATU WENGI TUNAJIONA TUNAWEZA KUFANYA KAZI NYINGINYINGI KWA WAKTI MMOJA LAIKIN HAKUNA UKWELI FANYA MOJA MALIZA HAMIA NYINGINE.
Quote :
If you are dreaming , why not dream BIG ? It takes the same amount of effort
Donald Trump – billionaire real estate developer and builder
Kama una ndoto kwanini usiwe na ndoto kubwa maana nguvu ni ileile ya kuota


JINSI YA KUTUMIA MASAA 24 VIZURI JINSI YA KUTUMIA MASAA 24 VIZURI Reviewed by Koroti MlMProTz on 8:21 PM Rating: 5

No comments: